Ni wachache waliokuwa na
fikra kuwa Trump angewania. Donald Trump alipita vizingiti vyote kutoka mwanzo
wa kampeni yake ya kuwania urais zaidi ya mwaka mmoja uliopita.
Ni watu wachache
walikuwa na fikra kuwa angeweza kuwania, lakini yeye alifanya hivyo. Walifikiri
hangepata umaarufu lakini akafanya hivyo. Wakasema hangeweza kushinda mchujo
wowote lakini akafanya hivyo. Wakasema hangeweza kushinda uteuzi wa Republican
lakini akafanya hivyo.
Majimbo yaliyokuwa ngome
Democratic yalimpigia kura Majimbo yaliyokuwa ngome Democratic yalimpigia
kura Trump Kisha wakasema kuwa hakuna vile angeweza kushindana au hata kushinda
na sasa ni yeye rais mteule wa Marekani.
Majimbo yaliyokuwa ngome
ya Democratic yote yalimpigia kura Trump yakiwemo Ohio, Florida na North Carolina.
Trump ashinda urais
Marekani
Watu wazungu walio na
ajira hasa wale wasio na masomo ya chuo kikuu wanake kwa wamaume walikihama
chama kwa wingi.
Donald Trump ni rais wa
45 wa Marekani
Wapiga kura wa
mashambani walijitokeza kwa wingi huku Wamarekani wanaohisi kutengwa na watu wa
mijini wakipiga kura kwa idadi kubwa. Wasifu wa Trump, mshindi wa urais
Marekani Licha wa majimbo kama Virginia na Colorado kumchagua Clinton, jimbo la
Wisconsin lilimwendea Trump na kusababisha matumaini ya Clinton kudidimia.
Trump alimdhalilisha
John McCain. Akaanza ugomvi na mtangazaji wa kituo cha Fox News Megyn Kelly. Wafuasi
wengi wa Democratic walihamia Republican
Wafuasi wengi wa
Democratic walihamia Republican Aliomba msamaha shingo upande wakati kanda moja
ya video ilitolewa, akijigamba jinsi alivyowadhalilisha kimapenzi wanawake. Alipambana
na pingamizi ndani ya chama chake na kushinda zote. Trump alijenga himaya yake
kutoka wa washindani wake kaiam mchujo. Wengie kama Marco Rubio, Ted Cruz,
Chris Christie na Ben Carson baadaye walisalimu amri. Hatimaye Trump anaelekea
ikulu ya White House
Hatimaye Trump anaelekea
ikulu ya White House
Wafuasi wengi wa chama
akiwemo spika Paul Riyan na wengine, Trump hakuhitaji msaada wao, na kwa
uhakika huenda ameshindana kwa sababu aliamua kuchukua msimamo dhidi yao. Ted
Cruz: Nimempigia kura Trump
Ni dalili ambayo
wanasiasa wengine waliiona kwa mbali, Bernie Sanders na Tedd Cruz kwa mfano. Lakini
hata hivyo hakuna mtu aliyeilewa kama Trump mweyewe na ndivyo ikampeleka ikulu
ya White House.