Saturday, 8 June 2013

KILA LA HERI TAIFA STARS



Timu ya Tanzania maarufu kama Taifa Stars leo inatupa karata yake katika michuano ya kufuzu kombe la Dunia nchini Brazili wanacheza na Simba wa Mlima ya Atlas katika uwanja wa Marrakesh.
Mungu ibariki Taifa Stars.

                                              Kila la HERI..

No comments: