Friday, 1 July 2016

Wakuu wa Wilaya na kasi ya maendeleo Tanzania

taarifa kwa vyombo vya habari
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu : +255-22-2114512, 2116898
Tovuti : www.ikulu.go.tz
Faksi : 255-22-2113425
OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Juni, 2016 amewaapisha wakuu wa Mikoa watatu aliowateua Jumapili iliyopita tarehe 26 Juni, 2016.
Wakuu wa Mikoa walioapishwa leo Ikulu Jijini Dar es salaam ni Dkt. Binilith Satano Mahenge ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Charles Ogesa Mlingwa ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mara na Bi. Zainab Rajab Telack ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.
Hafla ya kuapishwa kwa wakuu hao wa Mikoa imehudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na wakuu wa wilaya wateule ambao waliteuliwa na Rais Magufuli Jumapili iliyopita tarehe 26 Juni, 2016.
Aidha, miongoni mwa wakuu wa wilaya 139 walioteuliwa, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika wilaya tatu ambapo ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mteule Mhe. Fatma Hassan Toufiq na badala yake amemteua Bi. Agness Elias Hokororo kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo, ametengua uteuzi wa Mkuu wa wilaya ya Serengeti Mteule Bw. Emile Yotham Ntakamulenga na badala yake amemteua Bw. Nurdin Hassan Babu kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo na ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mteule Bw. Fikiri Avias Said na badala yake amemteua Bw. Miraji Mtaturu kuwa Mkuu wa wilaya hiyo.
Akizungumza katika hafla hiyo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka wakuu wa wilaya wateule kwenda kuchapa kazi na kutatua kero za wananchi katika wilaya zao huku wakizingatia kufanya kazi kwa uadilifu na uaminifu.
Rais Magufuli pia amewataka kusimamia ukusanyaji mapato ya serikali na matumizi ya fedha na rasilimali nyingine za umma, kuhakikisha wananchi wapo salama na pia kuhakikisha wananchi wanafanya kazi za uzalishaji mali.
"Katika kazi hizi wapo watakaowakejeli, katika kazi hizi wapo watakaowadhihaki, nyinyi kavumilieni na mmuweke Mungu mbele na mkawaweke watanzania mbele, mkafanye kazi kadiri Mungu atakavyokuwa amewaongoza.
"Nataka kuwahakikishia tunawaunga mkono kwa nguvu zote, mkafanye kazi bila uwoga wowote, katembeeni kifua mbele, kwa sababu tumewaamini wala msiwe na wasiwasi, ukifanya kitu kizuri kwa dhamira yako iliyo njema kitazaa matunda mazuri, ukifanya kitu kwa unafiki hakitafanikiwa" Amesema Rais Magufuli
Katika hafla hiyo, wakuu wa mikoa walioapishwa na wakuu wa wilaya wateule wamekula kiapo cha ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma, zoezi ambalo limeongozwa na Kamishna wa Maadili Jaji Mstaafu Salome Kaganda.
Katika hatua nyingine, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya Mazungumzo na mwenyekiti mwenza wa taasisi ya Bill and Melinda Gates ya Marekani Bi. Melinda Gates ambapo Rais Magufuli amemuhakikishia mwenyekiti mwenza huyo kuwa serikali ya awamu ya tano itaendeleza na kuimarisha zaidi uhusiano wake na taasisi hiyo ambayo imekuwa ikishirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Afya, Uongozi na Kilimo.
Kwa upande wake Bi. Melinda Gate amempongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa anayoifanya katika kukabiliana na rushwa na kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali, na pia kwa nia yake thabiti ya kuinua sekta ya kilimo inayotegemewa na idadi kubwa ya watanzania na ameahidi kuwa taasisi ya Bill and Melinda Gates itaendelea kushirikiana na Serikali ya awamu ya tano katika kuongeza tija ya uzalishaji wa mazao ya kilimo.


Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
29 Juni, 2016

Monday, 9 May 2016

5 Simple Ways to Boost Your Mental Performance

In life, having just a small edge can make a super colossal difference. Many of us start our work day with an unmotivated, distracted, and foggy brain. We work all day only to realize we didn’t accomplish anything of true value.

This type of performance is the enemy of success. Imagine having a powerhouse in your head that can stay laser focused on the task at hand, effortlessly learn and recall important information, and confidently make critical decisions at the drop of a dime. What would that do for your success?
Let’s find out a few simple things we can do to make sure we are performing closer to our mental capacity.
Here are 5 simple things we can do to make sure we are performing closer to our mental capacity:
1. Sit down with a purpose
Before you start a task, find your why. Don’t just ask yourself what is it that you want to achieve; ask yourself why you want to get this done. Make it personal and try to stir up your emotions. And most importantly, be specific. Clarity diffuses resistanceWhen you have your purpose, keep it at the forefront of your mind. This will help motivate you to complete the task at hand. With motivation comes increased attention, comprehension, and retention.

2. Stop multitasking the moment away
Attempting to multitask nullifies our concentration. Many people pride themselves at being a great multitasker when in reality, multitasking is an illusion. We may be able to do a bunch of things at the same time, but we can only truly focus on one thing at a time.
When we “multitask”, all we are really doing is rapidly switching back and forth. Your brain power takes a hit with each switch. Not to mention, it takes valuable time and energy to refocus. By constantly switching tasks, you are inadvertently training your brain to have attention deficit! If you find it hard to concentrate, all that multitasking “practice” is most likely your problem. When you zero in on one thing, all your brain power and resources converge.

3. No McD’s hotcakes for breakfast
Your memory plays possibly the largest role in optimal cognitive performance. Without being able to recall information and experiences, we can’t focus, solve problems, or make informed decisions. So what’s that got to do with pancakes? The hotcakes and sausage meal at McDonald’s has a whopping 4.1g trans fat! This is not only bad for your heart (which pumps blood and oxygen to your brain), but also your hippocampus, which is the part of the brain that is involved in memory.
This area of the brain is very susceptive to cell damage. Trans fat causes oxidative stress and inflammation galore! The result is malfunctioning brain cells. Beginning your day with fast foods containing trans fat sets your brain up for failure. If you’re in a hurry, opt for some fruit high in antioxidants. This will have the opposite effect of trans fat on your brain.

4. Meditate to medicate
Practically every high achiever meditates. Meditation lowers the frequency of your brain waves. In regards to your cognitive performance, this means a much more calm, focused, creative, and intuitive brain. When you need to zone in on a task, or make a crucial decision, meditate for 20 minutes before hand. This willprime your brain and put it in the optimal state.
“Meditation is a legal, mind-altering, and non-addictive brain enhancer. It helps you to see clearer, further, wider.” –Karen Salmansohn
5. Release your mental pressure
One of the worst things for your brain is stress. A little stress isn’t always bad, because in some cases it is what keeps us from danger. However, humans are the only mammals that experience stress over thoughts, which leads to chronic stress. Chronic stress and the release of too much of the stress hormone cortisol literally alters our neural circuitry and causes cells to malfunction. These changes in the brain create a cycle of an on-edge feeling and reduced cognitive performance.
Stressful situations can’t always be avoided, but if you are feeling stressed after the fact, you need to find a release. This can be anything from working out to going shopping. Find something you enjoy and release your tension or else your brain power will suffer.

Your brain plays the most vital role in achieving success and a high quality of life. Gaining a cognitive edge can put daylight between you and your opposition – whether that be your competition, or your old self.