Mfumo wa vyama vingi ni hali ya kuwa na chama zaidi ya kimoja,katika
nchi moja.Madhumuni ya kuwa na vyama vingi vya siasa ni kuleta ushindani
wa kisiasa,ili kuleta maendeleo ya nchi,upinzani wa kisiasa sio uadui
kama watu wengi kwenye nchi zinazoendelea wanavyodhani,kuwa na vyama
vingi ni kuongeza wigo wa demokrasia katika jamii huska.
Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi vya siasa uliorejeshwa katika katiba ya Tanzania mwaka 1992.
Chama tawala ni
Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi vya siasa uliorejeshwa katika katiba ya Tanzania mwaka 1992.
Chama tawala ni
- Chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho kimetokana na muungano kati ya
-
- Tanganyika African National Union (TANU) na
- Afro Shiraz Party (ASP) ya Zanzibar.
- Civic United Front (CUF),
- Tanzania Labour Party (TLP),
- Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
- National Convention for Constitution and Reconstruction-Mageuzi (NCCR-Mageuzi),
- National League of Democracy (NLD),
- Democratic Party (DP), na
- Demokrasia Makini.
- Alliance For Change And Transparency (ACT)
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
ZAMU YAKO 2015 |
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
1 comment:
US Election LIVE : जीत के करीब पहुचे डोनाल्ड ट्रंप
Read more todaynews18.com https://goo.gl/MoCyRL
Post a Comment