Friday, 31 May 2013

"ULIYE NAE ANAKUPENDA KWA DHATI"..

                                           Peter Chistopher katika  tafakari ya maisha

Safari ya maisha sisi kama vijana ni ndefu sana katika kufikia malengo tuliyojiwekea. Tujiulize maswali haya; nani ni msaada wangu kwa sasa? ni wakati gani msaada ninaupata? JE NINAUPATA kwa muda husika? na ni kwa namna gani? kwanini yeye kuliko mwingine? anatofautiana na wengine kiasi gani? nipo tayari kutimiza wajibu wangu? LAZIMA YEYE?
    
Maswali haya yaweza kuwa mwongozo katika kufikia malengo yetu japo yanahitaji kufikiliwa zaidi kwa kutumia fikira tunduizi na upembuzi yakinifu .
 NINGETAMANI......................................................harafu... akatokea..Itaendelee......

No comments: